Saturday, 29 October 2011

CHELSEA YAPATA KIPIGO TOKA KWA ARSENAL

Furaha iliyoje kwa vijana wa Wenger!

Weekend iliyopita tarehe 23 Oct 2011 tulishuhudia Man Utd akipigwa 6-1 na Man City. Lakini kwa Chelsea imekuwa kama jambo la kawaida kwani baada ya kufungwa na QPR 1-0 weekend iliyopita kwa mara nyingine leo wamepoteza mwelekeo wakiwa nyumbani baada ya kufungwa na Arsenal 5 -3.

Wow, Arsenal wanaendelea kujikusanyia point taratiiiiiiiibu!

No comments:

Post a Comment