Tuesday, 9 April 2013

MECHI ZA 09 APRIL 2013 - UEFA LIGI YA MABINGWA, ROBO FAINALI

21:45 Borrusia Dortmund 3 - 2 Malaga
21:45 Galatasaray 3 - 2 Real Madrid

NB: Saa za Afrika Mashariki

Real Madrid na Borusia zanusurika, zaingia nusu fainali

Real Madrid ilijua imekamilisha kazi baada ya Ronaldo kupata bao la kwanza dk ya 7 mchezo kuanza. Galatasaray ikaotoa makucha dk ya 5 ya kipindi cha pili, na dk 20 baadaye Sneijer akapachika baola pili na baada ya dk 2 Drogba akapachika bao la tatu na kuwaacha Real wakishangaa. Hatimaye ndani ya dk za majeruhi Ronaldo akafunga bao la pili na  doto za Galatasaray.

Borrusia nayo yaponea kwa kupata mabao mawili ndani ya dk za nyongeza kabla ya mpira kwisha!

-------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hii ni lala salama ama funga virago, kwenye mechi za kwanza Real Madrid ilishinda 3-0 dhidi ya Galatasaray, na Borrusia ilitoka 0-0 dhidi ya Malaga.

Kesho: Barcelona v Paris St Germain,  Juventus v Bayern Munich
 

No comments:

Post a Comment