Vivutio vya utalii vilivyoshinda ni Mlima Kilimanjaro, Ngorongoro Crater na mbuga za wanyama za Serengeti.
Waziri mkuu, Pinda Mizengo (katikati) kwenye sherehe za kukabidhiwa tuzo hizo kwenye hotel ya Mt Meru, mjini Arusha
Mkurugenzi wa hifadhi za taifa (TANAPA), Bw Allan Kijazi ikinyanyua tuzo za hifadhi ya Serengeti. Kushoto ni mwakilishi wa taasisi ya tuzo hizo Bw Philip Imler
No comments:
Post a Comment