Monday, 9 January 2012

MECHI ZA 09 JAN 2012 KOMBE LA FA (UINGEREZA)

22:45 Arsenal 1-0 Leeds

NB: Saa za Afrika Mashariki


-Kitendawili kimeteguliwa! Baada ya kupasha joto bench Thierry Henry aliingia dk ya 68, na katika dk ya 78 aliipatia Arsenal bao la ushindi na pekee kwenye mechi hiyo!

-Arsenal wameingia round ya nne na watapambana na Aston Villa tarehe 28 Jan

No comments:

Post a Comment