Saturday, 17 December 2011

MASUMBWI - FROCH v WARD

Mpambano mwingine wa kukata na shoka usiku wa kuamkia kesho ( asubuhi mapema)

Unakumbuka Amir Khan (Mwingereza) alipoteza kwa Peterson (Mmarekeni) weekend iliyopita? ( kujua zaidi angalia - MASUMBWI- AMIR KHAN APIGWA NA LAMONT PETERSON )

Huu ni mpambano mwingine wa Super-Middleweight unao wakutanisha Froch (Mwingereza) na Ward (Mmarekani)!

Kupata mwanga kiduchu angalia upimaji uzito kwenye link hii- http://www.youtube.com/watch?v=k45wVWgNBsk


Tusubiri matokeo kama Ward atafuata nyayo za Peterson kuchukua ubingwa.

No comments:

Post a Comment