Sunday, 20 November 2011

ALIYEKUWA KACHERO MKUU WA GADDAFI AKAMATWA

Wanasema 'hakuna marefu yasiyo na ncha'

Baada mtoto wa Gaddafi , Saif Al- Islam kushikwa jana , leo hii ni zamu ya kachero mkuu wa Gaddafi Abdullah al-Sanussi kuwekwa mikononi mwa serikali ya mpito ya waasi NTC nchini Libya. 

Saif Al-Islam na Abdullah al-Sanussi wanahitajika mahakama ya kimataifa kujibu mashtaka yakiwemo ya ukandamizaji wa haki za binadamu wakati wa utawala wa Gaddafi.

Who is next? Moussa Ibrahim!

No comments:

Post a Comment